Featured

    Featured Posts

Diamond aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram

Diamond Platnumz aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram




Diamond Platnumz

Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.

Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.

Hii ni orodha kamili kwa mujibu wa namba za December, 29.

1. Diamond Platnumz 1,502,578
2. Davido 1,498,823
3. Wizkid 1,362,760
4. Wema Sepetu 1,213,798
5. Millard Ayo 1,165,390
6. Don Jazzy 1,154,318
7. Jokate Mwegelo 1,098,848
8. Jacqueline Wolper 1,085,781
9. Zari the Bosslady 1,084,842
10. Vanessa Mdee 1,061,682

Post a Comment

www.CodeNirvana.in

Translate

Total Pageviews

Copyright © DIAMOND PLATNUMZ | Blogger Templates | Designed By Code Nirvana