Diamond Platnumz aongoza orodha ya mastaa wanaoishi Afrika wenye followers wengi zaidi Instagram
Awali nafasi hiyo ilikuwa ikishikiliwa na msanii wa Nigeria, Davido.
Hata hivyo orodha ya mastaa waliofikisha followers milioni moja imeongozwa na watanzania.
1. Diamond Platnumz 1,502,578
2. Davido 1,498,823
3. Wizkid 1,362,760
4. Wema Sepetu 1,213,798
5. Millard Ayo 1,165,390
6. Don Jazzy 1,154,318
7. Jokate Mwegelo 1,098,848
8. Jacqueline Wolper 1,085,781
9. Zari the Bosslady 1,084,842
10. Vanessa Mdee 1,061,682
Post a Comment